Lengo la Mafunzo haya ni kuwawezesha wanaojifunza wapate maarifa na stadi za kushughulika na Unyanayasaji wa mtoto Kihisia. Itasaidia kuimarisha namna ya kubainisha ishara na dalili za unyanyasaji kihisia, italeta mbinu/mikakati ya jinsi ya kuingilia kati na kumsaidia huyu anayejifunza kutambua huduma kwenye jamii husika ili kupata njia mbalimbali za kuwasaidia  wahanga kupona.

Self enrolment (Student)
Self enrolment (Student)