Sehemu ya 2 kati ya 2 ya mafunzo kwenye kompyuta ambayo yanawapa wafanyakazi wa kanisa na waliojitiolea uwezo wa kuwasaidia watoto katika jamii zao kupona kutokana na kiwewe. 

Ulinzi wa Watoto: Mafunzo ya Utunzaji wa Kwanza Baada ya Kiwewe ni pamoja na kozi mbili kwenye kompyuta na warsha tatu za mtandaoni. Warsha za mtandaoni zitaratibiwa na kusimamiwa na mfanyakazi katika Ofisi za Taifa za Compassion.  Ili kupokea cheti kwa mafunzo haya, wanafunzi watahitaji kukamilisha vipengele vyote vya mafunzo.

1. Utunzaji wa Kwanza Baada ya Kiwewe, Sehemu ya 1 (kozi) 
2. Warsha ya Mtandaoni 1
3. Utunzaji wa Kwanza Baada ya Kiwewe, Sehemu ya 2 (Kozi)  <--*Upo Hapa!*
4. Warsha ya Mtandaoni 2
5. Warsha ya Mtandaoni 3 – Cheti

Cheti kitatolewa ndani kulingana na ukamilishaji wa kozi kwenye kompyuta na ushiriki katika warsha za mtandaoni.

Self enrolment (Student)
Self enrolment (Student)